Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+ Ezekieli 20:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 “ ‘Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ nitakapowaleta kwenye udongo wa Israeli,+ katika nchi ambayo niliuinua mkono wangu katika kiapo kwamba nitawapa mababu zenu.
13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+
42 “ ‘Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ nitakapowaleta kwenye udongo wa Israeli,+ katika nchi ambayo niliuinua mkono wangu katika kiapo kwamba nitawapa mababu zenu.