Ezekieli 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Siku nilipoichagua Israeli,+ pia niliuapia* uzao wa* nyumba ya Yakobo, na kujijulisha kwao nchini Misri.+ Naam, niliwaapia na kusema, ‘Mimi ni Yehova Mungu wenu.’ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 20:5 w12 10/15 24-25 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:5 Mnara wa Mlinzi,10/15/2012, kur. 24-25
5 Waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Siku nilipoichagua Israeli,+ pia niliuapia* uzao wa* nyumba ya Yakobo, na kujijulisha kwao nchini Misri.+ Naam, niliwaapia na kusema, ‘Mimi ni Yehova Mungu wenu.’