7 Nami nitawachukua muwe watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu anayewatoa kutoka chini ya mizigo ya Misri. 8 Nami nitawapeleka katika nchi niliyoapa kwamba nitampa Abrahamu, Isaka, na Yakobo; nitawapa ninyi iwe miliki yenu.+ Mimi ni Yehova.’”+