Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova alifanya agano+ pamoja na Abramu, akisema: “Nitaupa uzao wako* nchi hii,+ kuanzia mto wa Misri mpaka kwenye ule mto mkubwa, mto Efrati:+

  • Mwanzo 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kaa kama mgeni katika nchi hii,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe na kukubariki kwa sababu nitakupa wewe na uzao wako* nchi zote hizi,+ nami nitatimiza kiapo hiki nilichomwapia Abrahamu baba yako:+

  • Mwanzo 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na nchi niliyompa Abrahamu na Isaka, nitakupa wewe na uzao wako* baada yako.”+

  • Kutoka 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaka, na Israeli, uliowaapia kwa jina lako mwenyewe na kusema, ‘Nitaufanya uzao wenu uwe mwingi kama nyota za mbinguni,+ nami nitaupa uzao* wenu nchi yote hii niliyowaahidi, ili iwe miliki yao ya kudumu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki