Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:16-18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 akamwambia: “‘Naapa kwa nafsi yangu,’ asema Yehova,+ ‘kwamba kwa kuwa umetenda jambo hili nawe hujaninyima mwana wako, mwana wako wa pekee,+ 17 hakika nitakubariki, nami hakika nitaufanya uzao* wako uwe mwingi kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari,+ na uzao* wako utamiliki lango la* maadui wake.+ 18 Na kupitia uzao wako*+ mataifa yote ya dunia yatajipatia baraka kwa sababu umeisikiliza sauti yangu.’”+

  • Zaburi 105:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Agano alilofanya na Abrahamu,+

      Na kiapo alichomwapia Isaka,+

      10 Alichotoa kama amri kwa Yakobo

      Na kama agano la kudumu kwa Israeli,

      11 Akisema, “Nitakupa nchi ya Kanaani+

      Kuwa urithi wako uliogawiwa.”+

  • Waebrania 6:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Mungu alipotoa ahadi yake kwa Abrahamu, kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa kwa jina lake mwenyewe,+ 14 akisema: “Hakika nitakubariki nami hakika nitaufanya uzao wako uwe mwingi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki