19 Ndipo Yoshua akawaambia watu: “Ninyi hamwezi kumtumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mtakatifu;+ yeye ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+ Hatasamehe maasi yenu wala dhambi zenu.+
20 Na zaidi, watu wa Beth-shemeshi wakasema: “Ni nani atakayeweza kusimama mbele za Yehova, huyu Mungu mtakatifu,+ naye ataondoka kwetu aende kwa nani?”+