Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wana wa Israeli wakaanza kumwambia Musa hivi: “Sasa bila shaka tutakata pumzi, bila shaka tutaangamia, sisi sote tutaangamia bila shaka.+

  • 2 Samweli 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye Daudi akamwogopa Yehova+ siku hiyo, akaanza kusema: “Sanduku la Yehova litakujaje kwangu?”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Daudi akamwogopa Mungu wa kweli siku hiyo,+ akisema: “Nitaliletaje sanduku la Mungu wa kweli kwangu?”+

  • Zaburi 76:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+

      Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki