Hesabu 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wana wa Israeli wakaanza kumwambia Musa hivi: “Sasa bila shaka tutakata pumzi, bila shaka tutaangamia, sisi sote tutaangamia bila shaka.+ 2 Samweli 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye Daudi akamwogopa Yehova+ siku hiyo, akaanza kusema: “Sanduku la Yehova litakujaje kwangu?”+ 1 Mambo ya Nyakati 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Daudi akamwogopa Mungu wa kweli siku hiyo,+ akisema: “Nitaliletaje sanduku la Mungu wa kweli kwangu?”+ Zaburi 76:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+
12 Nao wana wa Israeli wakaanza kumwambia Musa hivi: “Sasa bila shaka tutakata pumzi, bila shaka tutaangamia, sisi sote tutaangamia bila shaka.+
12 Naye Daudi akamwogopa Mungu wa kweli siku hiyo,+ akisema: “Nitaliletaje sanduku la Mungu wa kweli kwangu?”+
7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+