1 Samweli 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na zaidi, watu wa Beth-shemeshi wakasema: “Ni nani atakayeweza kusimama mbele za Yehova, huyu Mungu mtakatifu,+ naye ataondoka kwetu aende kwa nani?”+ Zaburi 119:120 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+
20 Na zaidi, watu wa Beth-shemeshi wakasema: “Ni nani atakayeweza kusimama mbele za Yehova, huyu Mungu mtakatifu,+ naye ataondoka kwetu aende kwa nani?”+
120 Mwili wangu umetetemeka kwa sababu ya kukuhofu;+Nami nimeogopa kwa sababu ya maamuzi yako ya hukumu.+