Kutoka 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Nanyi lazima muwe watu watakatifu kwangu;+ nanyi msile nyama shambani ambayo imeraruliwa na mnyama-mwitu.+ Mtawatupia mbwa nyama hiyo.+ Mambo ya Walawi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Nanyi mtajitakasa na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nanyi mtakuwa watakatifu kwangu,+ kwa sababu mimi Yehova ni mtakatifu;+ nami ninawatenga kutoka kwa vikundi vya watu ili muwe wangu.+ Hesabu 15:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kusudi ni kwamba mpate kukumbuka na kushika amri zangu zote na kuwa watakatifu kwa Mungu wenu.+ Kumbukumbu la Torati 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+
31 “Nanyi lazima muwe watu watakatifu kwangu;+ nanyi msile nyama shambani ambayo imeraruliwa na mnyama-mwitu.+ Mtawatupia mbwa nyama hiyo.+
26 Nanyi mtakuwa watakatifu kwangu,+ kwa sababu mimi Yehova ni mtakatifu;+ nami ninawatenga kutoka kwa vikundi vya watu ili muwe wangu.+
6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+