44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu;+ nanyi mtajitakasa wenyewe nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msifanye nafsi zenu kuwa zisizo safi kutokana na kiumbe chochote kinachozaana kwa wingi ambacho hutembea juu ya dunia.
12Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+