21 wanapaswa kumpeleka msichana huyo kwenye mlango wa nyumba ya baba yake, na wanaume wa jiji watamuua kwa kumpiga mawe, kwa sababu ametenda jambo la aibu+ katika Israeli kwa kufanya uasherati katika nyumba ya baba yake.+ Kwa hiyo ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.+