Mambo ya Walawi 11:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kwa maana mimi ni Yehova, ninayewaongoza kupanda kutoka nchini Misri ili nijithibitishe mwenyewe kuwa Mungu wenu,+ nanyi lazima muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ 1 Wakorintho 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 huku Mungu akiwahukumu wale walio nje?+ “Mwondoeni mtu mwovu miongoni mwenu.”+
45 Kwa maana mimi ni Yehova, ninayewaongoza kupanda kutoka nchini Misri ili nijithibitishe mwenyewe kuwa Mungu wenu,+ nanyi lazima muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+