23 Ndipo Yehova Mungu akamfukuza kutoka katika bustani ya Edeni+ ili ailime ardhi ambamo alikuwa ametolewa.+ 24 Basi akamfukuza mtu huyo, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni makerubi+ na upanga unaowaka uliokuwa ukizunguka mfululizo ili kuilinda njia ya kwenda kwenye mti wa uzima.