Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo Yehova Mungu akamfukuza kutoka katika bustani ya Edeni+ ili ailime ardhi ambamo alikuwa ametolewa.+ 24 Basi akamfukuza mtu huyo, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni makerubi+ na upanga unaowaka uliokuwa ukizunguka mfululizo ili kuilinda njia ya kwenda kwenye mti wa uzima.

  • Kumbukumbu la Torati 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mikono ya mashahidi inapaswa kuwa ya kwanza kumuua, kisha mikono ya watu wengine wote. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.+

  • Tito 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kuhusu mtu anayeendeleza madhehebu,+ mwepukeni+ baada ya kumwonya* mara ya kwanza na ya pili,+

  • 2 Yohana 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mtu yeyote akija kwenu naye haleti fundisho hili, msimpokee nyumbani mwenu+ wala kumsalimu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki