Mwanzo 32:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Yakobo akatuma wajumbe+ mbele yake kwenda kwa Esau ndugu yake kwenye nchi ya Seiri,+ eneo la Edomu,+ Kumbukumbu la Torati 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msigombane nao, kwa sababu sitawapa ninyi sehemu ya nchi yao hata upana wa wayo wa mguu; kwa sababu nimempa Esau Mlima Seiri uwe miliki yake.+ Ezekieli 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Moabu+ na Seiri+ wamesema: “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,”+
3 Kisha Yakobo akatuma wajumbe+ mbele yake kwenda kwa Esau ndugu yake kwenye nchi ya Seiri,+ eneo la Edomu,+
5 Msigombane nao, kwa sababu sitawapa ninyi sehemu ya nchi yao hata upana wa wayo wa mguu; kwa sababu nimempa Esau Mlima Seiri uwe miliki yake.+
8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Moabu+ na Seiri+ wamesema: “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,”+