-
Ezekieli 36:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Hakika katika moto wa bidii yangu nitasema+ juu ya mabaki ya mataifa na juu ya Edomu yote,+ wale ambao wamejipatia wenyewe nchi yangu iwe mali yao kwa kushangilia kwa moyo wote,+ kwa dharau katika nafsi yao,+ kwa ajili ya kiwanja chake cha malisho na ili kuipora.’ ” ’+
-