Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kimbieni!+ Geukeni mkimbie! Shukeni ndani sana ili mkae,+ enyi wakaaji wa Dedani!+ Kwa maana yale maafa ya Edomu nitayaleta juu yake, wakati ambao nitakaza fikira zangu juu yake.+

  • Maombolezo 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kosa lako, Ee binti Sayuni, limefikia mwisho wake.+ Hatakupeleka tena uhamishoni.+

      Amegeuza fikira zake kwa kosa lako, Ee binti Edomu. Amefunua dhambi zako.+

  • Ezekieli 36:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Hakika katika moto wa bidii yangu nitasema+ juu ya mabaki ya mataifa na juu ya Edomu yote,+ wale ambao wamejipatia wenyewe nchi yangu iwe mali yao kwa kushangilia kwa moyo wote,+ kwa dharau katika nafsi yao,+ kwa ajili ya kiwanja chake cha malisho na ili kuipora.’ ” ’+

  • Amosi 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu alimfuatilia ndugu yake mwenyewe kwa upanga,+ na kwa sababu aliharibu sifa zake mwenyewe za rehema,+ na hasira yake huendelea kurarua milele, na ghadhabu yake—ameishika daima.+

  • Obadia 1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maono ya Obadia:

      Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi kuhusu Edomu:+ “Kuna habari ambayo tumesikia kutoka kwa Yehova, na kuna mjumbe ambaye ametumwa kati ya mataifa, ‘Simameni, na tusimame tupigane naye.’ ”+

  • Obadia 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ya jeuri uliyomtendea ndugu yako Yakobo,+ aibu itakufunika,+ nawe utakatiliwa mbali mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki