Zaburi 83:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ambao wamesema: “Na tumiliki makao ya Mungu.”+ Ezekieli 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kwa sababu adui amesema juu yenu,+ ‘Aha! Hata mahali pa juu pa wakati wa kale+—pamekuwa mali yetu!’ ” ’+
2 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kwa sababu adui amesema juu yenu,+ ‘Aha! Hata mahali pa juu pa wakati wa kale+—pamekuwa mali yetu!’ ” ’+