Kumbukumbu la Torati 32:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+ Zaburi 78:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 Naye akaanza kujenga patakatifu pake kama vilele,+Kama dunia ambayo ameiwekea msingi mpaka wakati usio na kipimo.+ Isaya 58:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ndipo utakapopata furaha tele katika Yehova,+ nami nitakupandisha mahali pa juu pa dunia;+ nitakufanya ule kutokana na fungu la urithi la Yakobo babu yako,+ kwa maana kinywa chenyewe cha Yehova kimesema hayo.”+
13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+
69 Naye akaanza kujenga patakatifu pake kama vilele,+Kama dunia ambayo ameiwekea msingi mpaka wakati usio na kipimo.+
14 ndipo utakapopata furaha tele katika Yehova,+ nami nitakupandisha mahali pa juu pa dunia;+ nitakufanya ule kutokana na fungu la urithi la Yakobo babu yako,+ kwa maana kinywa chenyewe cha Yehova kimesema hayo.”+