Mambo ya Walawi 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova. Tito 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wanaume wenye umri mkubwa+ wawe na kiasi katika mazoea, wenye kuchukua mambo kwa uzito,+ wenye utimamu wa akili, wenye afya katika imani,+ katika upendo, katika uvumilivu.+
32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.
2 Wanaume wenye umri mkubwa+ wawe na kiasi katika mazoea, wenye kuchukua mambo kwa uzito,+ wenye utimamu wa akili, wenye afya katika imani,+ katika upendo, katika uvumilivu.+