Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 42:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada ya hayo Yosefu akawaambia siku ya tatu. “Fanyeni hili ili mwendelee kuishi. Mimi ninamwogopa+ Mungu wa kweli.

  • Mambo ya Walawi 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na mtu yeyote kati yenu asimkosee mwenzake,+ nawe umwogope Mungu wako,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+

  • Nehemia 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kuhusu wale magavana waliokuwa kabla yangu, walikuwa wamewalemea watu, nao walikuwa wakichukua kutoka kwao kila siku shekeli 40 za fedha kwa ajili ya mkate na divai. Pia, watumishi wao waliwaonea watu.+ Bali mimi sikufanya hivyo+ kwa sababu ya kumwogopa Mungu.+

  • Methali 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Wapumbavu wamedharau hekima na nidhamu.+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • 1 Petro 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki