Mambo ya Walawi 19:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Mtakapofika katika nchi hiyo na kupanda mti wowote wa matunda, mnapaswa kuyaona matunda yake kuwa machafu na yaliyokatazwa.* Kwa miaka mitatu mmekatazwa kuyala.* Hayapaswi kuliwa. Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:23 Mnara wa Mlinzi (Funzo),12/2021, kur. 6-7
23 “‘Mtakapofika katika nchi hiyo na kupanda mti wowote wa matunda, mnapaswa kuyaona matunda yake kuwa machafu na yaliyokatazwa.* Kwa miaka mitatu mmekatazwa kuyala.* Hayapaswi kuliwa.