Mambo ya Walawi 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Mnapaswa kushika sheria zangu: Usiwaache wanyama wako wa kufugwa wazaane na wanyama wengine wa aina tofauti. Usipande mbegu za aina mbili+ katika shamba lako, na usivae vazi lililoshonwa kwa nyuzi za aina mbili.+ Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:19 Mnara wa Mlinzi (Funzo),12/2021, uku. 6
19 “‘Mnapaswa kushika sheria zangu: Usiwaache wanyama wako wa kufugwa wazaane na wanyama wengine wa aina tofauti. Usipande mbegu za aina mbili+ katika shamba lako, na usivae vazi lililoshonwa kwa nyuzi za aina mbili.+