-
Mambo ya Walawi 19:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 “‘Mwanamume akifanya ngono na kijakazi anayechumbiwa na mwanamume mwingine, na iwe kwamba kijakazi huyo hajakombolewa wala kuwekwa huru, wanapaswa kuadhibiwa. Hata hivyo, hawapaswi kuuawa, kwa sababu kijakazi huyo hakuwa amewekwa huru.
-