-
2 Samweli 13:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 Hata hivyo, Yehonadabu+ mwana wa Shimea,+ ndugu ya Daudi, akajibu na kusema: “Bwana wangu asifikiri kwamba wamewaua vijana wote walio wana wa mfalme, kwa maana ni Amnoni peke yake ndiye amekufa,+ kwa sababu kwa agizo la Absalomu limekuwa kama jambo ambalo limewekwa+ kuanzia siku ile alipomfedhehesha+ Tamari dada yake.+
-