Ayubu 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa habari ya jicho la mzinzi,+ limengojea giza la jioni,+Likisema, ‘Hakuna jicho litakaloniona!’+Naye hufunika uso wake. Yohana 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana yule ambaye huzoea kufanya mambo maovu+ huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasipate kukaripiwa.+
15 Kwa habari ya jicho la mzinzi,+ limengojea giza la jioni,+Likisema, ‘Hakuna jicho litakaloniona!’+Naye hufunika uso wake.
20 Kwa maana yule ambaye huzoea kufanya mambo maovu+ huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasipate kukaripiwa.+