2 Samweli 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ingawa wewe ulitenda katika siri,+ kwa upande wangu mimi, nitafanya jambo hili mbele ya Israeli+ wote na mbele ya jua.’”+ Zaburi 94:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wanaendelea kusema: “Yah haoni;+Na Mungu wa Yakobo haelewi hilo.”+ Methali 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tazama, hii ndiyo njia ya mwanamke mzinzi: amekula, akapangusa kinywa chake na kusema: “Sijafanya kosa lolote.”+
12 Ingawa wewe ulitenda katika siri,+ kwa upande wangu mimi, nitafanya jambo hili mbele ya Israeli+ wote na mbele ya jua.’”+
20 Tazama, hii ndiyo njia ya mwanamke mzinzi: amekula, akapangusa kinywa chake na kusema: “Sijafanya kosa lolote.”+