Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha Daudi akatuma wajumbe ili yeye amchukue.+ Basi mwanamke huyo akaja, akaingia kwake,+ akalala naye,+ wakati alipokuwa akijitakasa kutoka katika uchafu wake.+ Baadaye mwanamke huyo akarudi nyumbani kwake.

  • 2 Samweli 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwishowe Daudi akamwambia Uria: “Shuka, nenda nyumbani kwako, uoshe miguu yako.”+ Basi Uria akatoka katika nyumba ya mfalme, na zawadi ya fadhili ya mfalme ikaletwa nyuma yake.

  • 2 Samweli 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Zaidi ya hayo, Daudi akamwita ili ale chakula na kunywa mbele yake. Basi akamfanya alewe.+ Hata hivyo, akatoka nje jioni na kulala kitandani mwake pamoja na watumishi wa bwana wake, wala hakushuka kwenda nyumbani kwake.

  • 2 Samweli 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo akaandika katika barua hiyo, akisema:+ “Mwekeni Uria mbele ya mashambulio makali zaidi ya kivita,+ nanyi mtoke nyuma yake, apigwe, afe.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki