Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni.

  • Zaburi 51:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+

      Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+

  • Methali 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Usimtungie mwenzako jambo lolote baya,+ wakati anapokaa nawe na kujiona salama.+

  • Methali 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu anayelipa ubaya kwa wema,+ ubaya hautaondoka nyumbani mwake.+

  • Zekaria 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nanyi msipangiane mabaya mioyoni mwenu,+ wala msipende kiapo chochote cha uwongo;+ kwa maana nimeyachukia mambo hayo yote,’+ asema Yehova.”

  • Marko 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 kwa maana kutoka ndani, kutoka katika moyo wa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati,+ wizi, mauaji,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki