2 Samweli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni. Zaburi 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+ Methali 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Usimtungie mwenzako jambo lolote baya,+ wakati anapokaa nawe na kujiona salama.+ Methali 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu anayelipa ubaya kwa wema,+ ubaya hautaondoka nyumbani mwake.+ Zekaria 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi msipangiane mabaya mioyoni mwenu,+ wala msipende kiapo chochote cha uwongo;+ kwa maana nimeyachukia mambo hayo yote,’+ asema Yehova.” Marko 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana kutoka ndani, kutoka katika moyo wa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati,+ wizi, mauaji,+
9 Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni.
14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+
17 Nanyi msipangiane mabaya mioyoni mwenu,+ wala msipende kiapo chochote cha uwongo;+ kwa maana nimeyachukia mambo hayo yote,’+ asema Yehova.”
21 kwa maana kutoka ndani, kutoka katika moyo wa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati,+ wizi, mauaji,+