Mwanzo 19:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Basi wakaendelea kumpa baba yao divai anywe usiku huo;+ kisha mzaliwa wa kwanza akaingia ndani akalala na baba yake, lakini yeye hakujua wakati binti yake alipolala na wakati alipoamka. Methali 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Divai ni mdhihaki,+ kileo husababisha msukosuko,+ na kila mtu anayepotezwa nacho hana hekima.+ Hosea 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uasherati na divai na divai tamu ndivyo vinavyoondoa kusudi jema.+
33 Basi wakaendelea kumpa baba yao divai anywe usiku huo;+ kisha mzaliwa wa kwanza akaingia ndani akalala na baba yake, lakini yeye hakujua wakati binti yake alipolala na wakati alipoamka.