2 Samweli 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo Absalomu ndugu yake+ akamuuliza: “Je, ni Amnoni ndugu yako aliyelala nawe? Sasa nyamaza, dada yangu. Yeye ni ndugu yako.+ Usiruhusu jambo hili likae moyoni mwako.” Hivyo, Tamari akaishi peke yake katika nyumba ya Absalomu ndugu yake.
20 Ndipo Absalomu ndugu yake+ akamuuliza: “Je, ni Amnoni ndugu yako aliyelala nawe? Sasa nyamaza, dada yangu. Yeye ni ndugu yako.+ Usiruhusu jambo hili likae moyoni mwako.” Hivyo, Tamari akaishi peke yake katika nyumba ya Absalomu ndugu yake.