20 Kwa hiyo Absalomu+ ndugu yake akamwambia: “Je, Amnoni+ ndugu yako ndiye aliyekuwa nawe? Na sasa, dada yangu, nyamaza. Yeye ni ndugu yako.+ Usiweke moyo wako juu ya jambo hili.” Na Tamari akaanza kuishi katika nyumba ya Absalomu ndugu yake, huku akitengwa na ushirika wa wengine.