3 Na mwana wake wa pili alikuwa Kileabu+ kupitia Abigaili+ mke wa Nabali Mkarmeli, na wa tatu alikuwa Absalomu+ mwana wa Maaka binti ya Talmai+ mfalme wa Geshuri.
13Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu+ mwana wa Daudi alikuwa na dada mwenye sura nzuri ambaye jina lake lilikuwa Tamari,+ na Amnoni+ mwana wa Daudi akampenda.+