Mambo ya Walawi 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Nao uchi wa dada yako, binti ya baba yako au binti ya mama yako, awe amezaliwa katika nyumba hiyo hiyo au amezaliwa nje, usiufunue uchi wao.+ Kumbukumbu la Torati 27:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
9 “‘Nao uchi wa dada yako, binti ya baba yako au binti ya mama yako, awe amezaliwa katika nyumba hiyo hiyo au amezaliwa nje, usiufunue uchi wao.+
22 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)