2 Samweli 13:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini Absalomu akakimbia, akafika Geshuri;+ naye akakaa huko miaka mitatu. Methali 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtu aliyelemewa na hatia ya damu ya nafsi atalikimbilia shimo.+ Watu wasimzuie.