18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani.
11 Basi watu wa jiji lake, wanaume wazee na watu wenye vyeo waliokuwa wakikaa katika jiji lake, wakafanya kama vile Yezebeli alivyokuwa ametuma ujumbe kwao, kama ilivyoandikwa katika zile barua alizowatumia.+