17 Na mlinzi+ alikuwa amesimama juu ya mnara+ katika Yezreeli,+ naye akaona umati unaosukasuka wa watu wa Yehu alipokuwa akija, naye akasema mara moja: “Ninaona umati unaosukasuka wa watu.” Ndipo Yehoramu akasema: “Chukua askari mpanda-farasi, umtume awapokee, naye aseme, ‘Je, kuna amani?’”+