Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Yehova ameniambia hivi:

      “Nenda, weka mlinzi, ili aseme yale tu anayoyaona.”+

  • Isaya 62:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.+ Mchana kutwa na usiku kucha, sikuzote, wasikae kimya.+

      “Ninyi mnaomtaja Yehova,+ msinyamaze kimya,+

  • Ezekieli 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, sema na wana wa watu wako,+ nawe uwaambie,

      “‘Kwa habari ya nchi, ikiwa nitauleta upanga+ juu yake na watu wa nchi, kila mmoja, wamchukue mtu na kumweka kuwa mlinzi wao,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki