Isaya 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova ameniambia hivi: “Nenda, weka mlinzi, ili aseme yale tu anayoyaona.”+ Isaya 62:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.+ Mchana kutwa na usiku kucha, sikuzote, wasikae kimya.+ “Ninyi mnaomtaja Yehova,+ msinyamaze kimya,+ Ezekieli 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, sema na wana wa watu wako,+ nawe uwaambie,“‘Kwa habari ya nchi, ikiwa nitauleta upanga+ juu yake na watu wa nchi, kila mmoja, wamchukue mtu na kumweka kuwa mlinzi wao,+
6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.+ Mchana kutwa na usiku kucha, sikuzote, wasikae kimya.+ “Ninyi mnaomtaja Yehova,+ msinyamaze kimya,+
2 “Mwana wa binadamu, sema na wana wa watu wako,+ nawe uwaambie,“‘Kwa habari ya nchi, ikiwa nitauleta upanga+ juu yake na watu wa nchi, kila mmoja, wamchukue mtu na kumweka kuwa mlinzi wao,+