Zaburi 134:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Inueni mikono yenu katika utakatifu+Na kumbariki Yehova.+ Matendo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+
4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+