Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi Daudi alikuwa ameketi kati ya yale malango mawili.+ Na wakati huo mlinzi+ akaenda juu ya paa ya lango kando ya ukuta. Baada ya muda akainua macho yake, akaona, na tazama! palikuwa na mtu anakimbia akiwa peke yake.

  • 2 Wafalme 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na mlinzi+ alikuwa amesimama juu ya mnara+ katika Yezreeli,+ naye akaona umati unaosukasuka wa watu wa Yehu alipokuwa akija, naye akasema mara moja: “Ninaona umati unaosukasuka wa watu.” Ndipo Yehoramu akasema: “Chukua askari mpanda-farasi, umtume awapokee, naye aseme, ‘Je, kuna amani?’”+

  • Isaya 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye akaita kama simba:+ “Ee Yehova, juu ya mnara wa mlinzi ninasimama sikuzote wakati wa mchana, na kwenye kituo changu cha ulinzi ninasimama kila usiku.+

  • Yeremia 51:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Inueni ishara+ juu ya kuta za Babiloni. Yatieni malindo nguvu.+ Wekeni walinzi. Watayarisheni wale wanaovizia.+ Kwa maana Yehova ametunga wazo naye pia hakika atafanya lile alilosema juu ya wakaaji wa Babiloni.”+

  • Hosea 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mlinzi+ wa Efraimu alikuwa pamoja na Mungu wangu.+ Kuhusu nabii,+ kuna mtego wa mwindaji wa ndege katika njia zake zote;+ kuna uadui katika nyumba ya Mungu wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki