Hosea 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mlinzi+ wa Efraimu alikuwa na Mungu wangu.+ Lakini sasa njia zote za manabii wake+ ni kama mitego ya mwindaji wa ndege;Kuna uhasama katika nyumba ya Mungu wake.
8 Mlinzi+ wa Efraimu alikuwa na Mungu wangu.+ Lakini sasa njia zote za manabii wake+ ni kama mitego ya mwindaji wa ndege;Kuna uhasama katika nyumba ya Mungu wake.