Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana Yehova aliniambia hivi:

      “Nenda, mweke mlinzi na umwambie aseme yale anayoyaona.”

  • Isaya 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kisha akaita kwa sauti kama simba:

      “Ee Yehova, ninasimama daima juu ya mnara wa mlinzi wakati wa mchana,

      Nami ninasimama katika kituo changu cha ulinzi kila usiku.+

  • Yeremia 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Nami nikawaweka walinzi+ waliosema,

      ‘Isikilizeni sauti ya pembe!’”+

      Lakini wakasema: “Hatutaisikiliza.”+

  • Ezekieli 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Na wewe, mwana wa binadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa watu wa nyumba ya Israeli; unaposikia neno kutoka katika kinywa changu lazima uwape onyo langu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki