Yeremia 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Yehova aliwatuma kwenu watumishi wake wote manabii, aliwatuma tena na tena,* lakini hamkusikiliza, wala kutega sikio lenu ili msikie.+ Ezekieli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mwana wa binadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa watu wa nyumba ya Israeli;+ nawe unaposikia neno kutoka katika kinywa changu, lazima uwape onyo langu.+ Habakuki 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitaendelea kusimama katika kituo changu cha ulinzi,+ Nami nitasimama juu ya boma. Nitaendelea kukaa macho ili nione atakalosema kupitia kwanguNa lile nitakalojibu nitakapokaripiwa.
4 Na Yehova aliwatuma kwenu watumishi wake wote manabii, aliwatuma tena na tena,* lakini hamkusikiliza, wala kutega sikio lenu ili msikie.+
17 “Mwana wa binadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa watu wa nyumba ya Israeli;+ nawe unaposikia neno kutoka katika kinywa changu, lazima uwape onyo langu.+
2 Nitaendelea kusimama katika kituo changu cha ulinzi,+ Nami nitasimama juu ya boma. Nitaendelea kukaa macho ili nione atakalosema kupitia kwanguNa lile nitakalojibu nitakapokaripiwa.