Isaya 58:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 “Ita kwa sauti yote kutoka kooni; usijizuie! Paza sauti yako kama pembe. Watangazie watu wangu uasi wao,+Na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Ezekieli 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Na wewe, mwana wa binadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa watu wa nyumba ya Israeli; unaposikia neno kutoka katika kinywa changu lazima uwape onyo langu.+
58 “Ita kwa sauti yote kutoka kooni; usijizuie! Paza sauti yako kama pembe. Watangazie watu wangu uasi wao,+Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
7 “Na wewe, mwana wa binadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa watu wa nyumba ya Israeli; unaposikia neno kutoka katika kinywa changu lazima uwape onyo langu.+