Isaya 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha akaita kwa sauti kama simba: “Ee Yehova, ninasimama daima juu ya mnara wa mlinzi wakati wa mchana,Nami ninasimama katika kituo changu cha ulinzi kila usiku.+ Yeremia 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini unapaswa kuwa tayari kuchukua hatua,*Nawe unapaswa kusimama na kuwaambia kila jambo ninalokuamuru. Usiwaogope,+Ili nisikuogopeshe mbele yao. Ezekieli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mwana wa binadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa watu wa nyumba ya Israeli;+ nawe unaposikia neno kutoka katika kinywa changu, lazima uwape onyo langu.+
8 Kisha akaita kwa sauti kama simba: “Ee Yehova, ninasimama daima juu ya mnara wa mlinzi wakati wa mchana,Nami ninasimama katika kituo changu cha ulinzi kila usiku.+
17 Lakini unapaswa kuwa tayari kuchukua hatua,*Nawe unapaswa kusimama na kuwaambia kila jambo ninalokuamuru. Usiwaogope,+Ili nisikuogopeshe mbele yao.
17 “Mwana wa binadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa watu wa nyumba ya Israeli;+ nawe unaposikia neno kutoka katika kinywa changu, lazima uwape onyo langu.+