Yeremia 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Nami nilisimamisha walinzi juu yenu,+ ‘Isikilizeni sauti ya baragumu!’”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutaisikiliza.”+ Yeremia 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kuna siku ambayo walinzi walio katika eneo lenye milima la Efraimu wataita, ‘Simameni, twende Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+ Ezekieli 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Basi kwa habari yako wewe, Ee mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli,+ na kutoka katika kinywa changu lazima usikie neno na kuwapa onyo kutoka kwangu.+
17 “Nami nilisimamisha walinzi juu yenu,+ ‘Isikilizeni sauti ya baragumu!’”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutaisikiliza.”+
6 Kwa maana kuna siku ambayo walinzi walio katika eneo lenye milima la Efraimu wataita, ‘Simameni, twende Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+
7 “Basi kwa habari yako wewe, Ee mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli,+ na kutoka katika kinywa changu lazima usikie neno na kuwapa onyo kutoka kwangu.+