17 “Mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi katika nyumba ya Israeli,+ nawe utasikia maneno kutoka katika kinywa changu nawe lazima utawapa maonyo kutoka kwangu.+
2Nitaendelea kusimama katika kituo changu cha ulinzi,+ nitaendelea kusimama juu ya boma; nitaendelea kuangalia,+ ili kuona atakaloniambia+ na lile nitakalojibu nikikaripiwa.+