Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye akaita kama simba:+ “Ee Yehova, juu ya mnara wa mlinzi ninasimama sikuzote wakati wa mchana, na kwenye kituo changu cha ulinzi ninasimama kila usiku.+

  • Isaya 62:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.+ Mchana kutwa na usiku kucha, sikuzote, wasikae kimya.+

      “Ninyi mnaomtaja Yehova,+ msinyamaze kimya,+

  • Yeremia 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Nami nilisimamisha walinzi juu yenu,+ ‘Isikilizeni sauti ya baragumu!’”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutaisikiliza.”+

  • Ezekieli 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Basi kwa habari yako wewe, Ee mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli,+ na kutoka katika kinywa changu lazima usikie neno na kuwapa onyo kutoka kwangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki