Mwanzo 32:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Yakobo akatuma wajumbe+ mbele yake kwenda kwa Esau ndugu yake kwenye nchi ya Seiri,+ eneo la Edomu,+ Kumbukumbu la Torati 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+ Zaburi 137:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ukumbuke,+ Ee Yehova, juu ya wana wa Edomu+ siku ya Yerusalemu,+Waliokuwa wakisema: “Lifanye ukiwa! Lifanye ukiwa mpaka kwenye msingi ulio ndani yake!”+
3 Kisha Yakobo akatuma wajumbe+ mbele yake kwenda kwa Esau ndugu yake kwenye nchi ya Seiri,+ eneo la Edomu,+
8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+
7 Ukumbuke,+ Ee Yehova, juu ya wana wa Edomu+ siku ya Yerusalemu,+Waliokuwa wakisema: “Lifanye ukiwa! Lifanye ukiwa mpaka kwenye msingi ulio ndani yake!”+