2 Samweli 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Daudi alikuwa ameketi kati ya malango mawili ya jiji,+ na mlinzi+ akapanda ukutani hadi juu ya paa la lango. Akatazama na kumwona mtu fulani akikimbia peke yake.
24 Daudi alikuwa ameketi kati ya malango mawili ya jiji,+ na mlinzi+ akapanda ukutani hadi juu ya paa la lango. Akatazama na kumwona mtu fulani akikimbia peke yake.