1 Samweli 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Samweli akafanya yale ambayo Yehova alisema. Alipokuja Bethlehemu,+ wanaume wazee wa jiji wakaanza kutetemeka+ walipokutana naye, nao wakasema: “Je, kuja kwako kunamaanisha amani?”+ 1 Wafalme 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Adoniya mwana wa Hagithi akamjia Bath-sheba,+ mama ya Sulemani. Na mama huyo akasema: “Je, unakuja kwa amani?”+ naye akajibu: “Ni kwa amani.”
4 Na Samweli akafanya yale ambayo Yehova alisema. Alipokuja Bethlehemu,+ wanaume wazee wa jiji wakaanza kutetemeka+ walipokutana naye, nao wakasema: “Je, kuja kwako kunamaanisha amani?”+
13 Kisha Adoniya mwana wa Hagithi akamjia Bath-sheba,+ mama ya Sulemani. Na mama huyo akasema: “Je, unakuja kwa amani?”+ naye akajibu: “Ni kwa amani.”