Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Samweli akafanya yale ambayo Yehova alisema. Alipokuja Bethlehemu,+ wanaume wazee wa jiji wakaanza kutetemeka+ walipokutana naye, nao wakasema: “Je, kuja kwako kunamaanisha amani?”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Daudi akatoka mbele yao, akajibu na kuwaambia: “Ikiwa mmenijia kwa amani+ ili kunisaidia, moyo wangu utaungana nanyi.+ Lakini ikiwa ni kunisaliti kwa adui zangu wakati hakuna kosa lolote mikononi mwangu,+ Mungu+ wa mababu zetu na aone hilo na kulinyoosha.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki