17 Ndipo Daudi akatoka mbele yao, akajibu na kuwaambia: “Ikiwa mmenijia kwa amani+ ili kunisaidia, moyo wangu utaungana nanyi.+ Lakini ikiwa ni kunisaliti kwa adui zangu wakati hakuna kosa lolote mikononi mwangu,+ Mungu+ wa mababu zetu na aone hilo na kulinyoosha.”+